Powered By Blogger

Saturday, October 6, 2012

ROZAY ATUA BONGOLAND

Apa akipanda ndiga tayari kwa kwenda kupumzika 

apa akiwapa salut mashabik wake baada ya kuwasili

Huyu ni Rozay fake ambae alikuja kuwa zingua mashabiki 


Hapa akishka kwenye gari kuelekea hotelini
Yule mwanamusik wa OBAMALAND anaekwenda kwa jina la RICK ROSS ametua jana kwenye jiji la maraha kwa ajili ya kufanya show kwenye tamasha la fiesta 2012