Powered By Blogger

Tuesday, July 31, 2012

DIMPOZY NAE KUVUTA NDINGA.

The bongo flava artist Ommy Dimpozy nae hivi karibuni amevuta gari aina ya Rav 4 new model yenye thamani ya shilingi za kitanzania milioni ishirini saba 27 hii ni baada ya rafiki yake kipenz Diamond kununua gari aina ya Toyota Prado ya mil.60.

DIAMOND ALAZWA......

Msanii wa bongo flava Nasib Abdul a.k.a Diamond amelazwa hospitali baada ya kuugua ghafla marelia na kifua kubana katika hospital moja  jina tunalo tunakutakia upone salama amin.

Monday, July 23, 2012

UKIACHA MUZIKI DIAMOND.............!!!!!!!!?







Ukiacha kipaji alichonacho bwana mdogo Almas kipaji kingine nilicholiona kwake ni kuwa model coz jamaa ukiangalia baadhi ya picha hapo utagundua kuwa nnachosema ni kweli jamaa anafaa kuwa mwanamitindo hapo kwengine nawaachia akina MUSTAFA HASSANALI .