Huyuu jamaa anaitwa NASIBU ABDUL a.k.a DIAMOND ndio kijana alieshika soko la mziki la tanzania naweza kusema coz hivyo kwa sababu kwanza amechukua tuzo nyingi kwa mwaka huu na ameweza kuteka ulimwengu wa Burudani and naweza kumalizia kwa kusema jamaa mwaka wake hongera.
No comments:
Post a Comment